Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake,…
Jumatano, 1 Dhu al-Hijjah 1446 - 28 Mei 2025
Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa takriban wagonjwa 60,000 wa kipindupindu wamerekodiwa nchini Sudan, na kusababisha vifo vya zaidi ya 1640, likionya madhara ya kuporomoka kwa mfumo wa afya nchini humu. Ufichuzi huu unakuja wakati kipindupindu kikienea kwa kasi katika Jimbo la Khartoum, ambapo maambukizi mapya yanazidi 90% ya jumla ya nchi, haswa huko Karari, Omdurman, na Ombada. Mnamo Jumanne, 27/5/2025, Wizara ya Afya ya Sudan ilitangaza kurekodi kesi 2729, pamoja na vifo 172, katika wiki moja. Waziri wa Afya wa Sudan Dkt. Haitham Mohamed Ibrahim alisema kuwa kuenea kwa kipindupindu jijini Khartoum kunatokana na kuzorota kwa hali ya...
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Al-Kamel Mohammad Khair
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, inamuomboleza kwa macho yenye machozi na nyoyo ziliyoridhika na…
Unachokitafuta Kinakutafuta wewe
Islamabad, Pakistan – Baraza la mawaziri la Pakistan mnamo Jumanne lilimpandisha cheo Jenerali Syed Asim…
Ulimwenguni wa Kusini na Mfumo Mpya wa Ulimwengu – Tumaini…
Mnamo Aprili 2025, wakati wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS nchini…
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Gaza inahitaji kuingia kwa…
Taarifa ya mwisho ya Mkutano wa Waarabu, ulioandaliwa na mji mkuu wa Iraq, Baghdad mnamo…
Kudumu kwa Mashirika ya Kifeministi na Mashoga hadi kufikia Hatua…
Baada ya wasagaji wawili wanachama wa chama chenye uhusiano na Chuo Kikuu cha Marekani cha…